Uchaguzi wa Zanzibar sasa rasmi kurudiwa

Zanzibar Yetu

Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Jecha Salum Jecha akiwa na wajumbe wa tume hiyo. Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Jecha Salum Jecha akiwa na wajumbe wa tume hiyo.

Wakati mazungumzo ya kutafuta ufumbuzi wa mgogoro wa uchaguzi mkuu wa Zanzibar yakiwa yamepamba moto, uamuzi wa kufutwa matokeo ya uchaguzi umetangazwa rasmi katika Gazeti la Serikali la Novemba 6, mwaka huu, hivyo kumaanisha uchaguzi huo sasa ni rasmi utarudiwa.

View original post 588 more words

Published by dsramadhan9daima

And whoever believe in (Allah)... ...He will guide his heart (Qur'an 64:11) Your life is your message to the WORLD.Make sure it's INSPIRING. Arrogance won't get you far in your life.

Leave a comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.